Meli hiyo ilikuwa na abiria 458 wakati ajali hiyo
inatokea.
Li anasema, "Jukumu la kwanza ni kuokoa watu,
meli imepinduka lakini hatuwezi kuondoa uwezekano kuwa hakuna watu wanaoweza
kuokolewa, ndiyo maana ni lazima kutumia nguvu zote katika uokoaji wa watu hao
wakiwemo wazee na watoto."
Habari zinasema hadi sasa, watu 15 wameokolewa,
wengine watano wamethibitishwa kufa, na zaidi ya 430 bado hawajulikani walipo.
Ajali hiyo inadhaniwa kuwa ni mbaya zaidi
kushuhudiwa nchini China kwa miongo kadhaa.
0 comments:
Post a Comment