Image
Image

WHO:Afrika ya Mashariki yakumbwa na athari za biashara haramu ya tumbaku.


Biashara haramu ya tumbaku inaathiri pia Ukanda wa Afrika Mashariki amesema Mshauri wa Shirika la Afya Duniani WHO kuhusu tumbaku barani Afrika, Daktari Ahmed Ogwell Ouma wakati huu ambapo WHO imeadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga matumizi ya tumbaku kwa kuangazia athari za biashara haramu ya tumbaku, ambazo ni asilimia 10 za sigara zinazouzwa duniani kote.
Daktari Ouma ameeleza kuwa biashara hizo ni za aina tatu: magendo ya sigara, sigara bandia na sigara zisizo na idhini kabisa, akifafanua athari zake.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment