Image
Image

Davido aweka wazi Bifu lake na Diamond,Hiki ndicho alicho Post.

Staa wa Nigeria aliyeripotiwa awali kuwa na tofauti na msanii Diamond Platnumz baada ya kufanya pamoja Remix ya wimbo Number 1 ameonyesha wazi kuwa hakuna beef yeyote kati yao.
Mtv wametaja majina ya wasanii watakao fanya show kwenye usiku wa tuzo na Diamond Platnumz kutoka Tanzania na Davido kutoka Nigeria wapo miongoni mwa wasaii waliotajwa.
                                              Hii ni post ya Davido Facebook.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment