Image
Image

Polisi wa Uhispania wakatamata washukiwa 36 wa ulanguzi wa dawa za kulevya.


Polisi wa Uhispania wametekeleza operesheni na kuwatia mbaroni washukiwa 36 wa ulanguzi wa madawa ya kulevya katika visiwa vya Canary.
Polisi hao pia wanaarifiwa kukamata kilo 342 za madawa ya kulevya katika operesheni hiyo iliyotekelezwa siku ya Ijumaa.
Wakati huo huo, takriban fedha dola milioni 1.1 pia zilipatikana baada ya ukaguzi kufanyika katika vituo saba vya maficho.
Washukiwa hao wanasemekana kuingiza madawa ya kulevya kutoka Colombia, na kuyaficha ndani ya shehena ya mizigo halali kabla ya kupanga kuisafirisha nchini Brazil kupitia visiwa vya Canary.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment