Image
Image

UN kufanya uchunguzi wa silaha za kemikali Syria.


Shirika la Umoja wa Mataifa lilichukua uamuzi wa kuunda jopo jipya la kuchunguza wahusika wanaotengeneza silaha za kemikali nchini Syria.
Jopo hilo linatarajiwa kuwa na wanachama 15.
Syria ni nchi ambayo imekuwa ikikumbwa na vita kwa muda wa miaka 5 na kusababisha kufariki kwa wananchi wasiopungua 250,000.
Wanachama walilisisitiza kuwa jopo hilo litafanya uchunguzi ya vyombo ambavyo vinatumika kutengeza kemikali, wahalifu serikalini na wadhamini wa silaha hizo.
İmebainika kwamba kemikali aina ya klorini hutumiwa nchini Syria.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment