Image
Image

Mpango wa nyuklia wa Iran:Obama kushinda kura ya Congress.


Barack Obama amehakikishiwa kuwa na uwezo wa kutekeleza makubaliano ya mpango wa nyuklia wa Iran. Ikulu ya Marekani imekwisha pokea ahadi za kutosha za kuungwa mkono na maseneta, kuweka mbali tishio la kurudisha nyuma makubaliano hayo.

Kwa mujibu wa mwandishi wa Rfi katika mji wa Washington, Anne-Marie Capomaccio, Rais wa Marekani Barack Obama amefanikiwa kupata uungwaji mkono kutoka kwa Maseneta kuwazuia wale wa Republican kupinga kupitisha mswada kuhusu mradi wa amani wa nyuklia wa Iran.

Maseneta wa Democratic wameugana kumuunga mkono rais Obama, uamuzi ambao ni pigo kwa maseneta wa Repblican ambao wameweka wazi kupinga mktaba huo.

Kupitishwa kwa mktaba huo inamaanisha kuwa Marekani itaondoa vikwazo vya kuucumi dhidi Iran kama mojawapo ya makubaliano ya utekelezwaji wa mradi huo wa nyuklia.

Bunge la Congress linatarajiwa kujadili na kuupigia kura mkataba huo tarehe 17.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment