Image
Image

Ajali yabasi la TAKBIR na Lori yaua 12 na kujeruhi 8 Mkoani Singida*Sababu za ajali zafahamika.


Watu 12 wamefariki duni na wengine 8 wakijeruhiwa kufuatia ajali iliyohusisha basi la TAKBIR kugongana na Malori mawili katika kijiji cha kizonzo mpakani mwa Igunga na Iramba Singinda wakati wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Geita.

Kufuatia ajali hiyo mganga wa wilaya ya iramba Dkt.Timoth Sumbe amesema wamepokea maiti kumi na mbili kati ya hizo wamo wanawake watatu, wanaume sita na watoto wa tatu huku majeruhi kumina nane wakiendelea kupatiwa matibabu ambao wengi wao wamevunjika miguu , mikono na majeraha usoni.

Hawa ni Madereva wa Malori hayo mawili yaliyokuwa yamegongana na basi la abiria la TAKBIR wanaelezea namna ajali ilivyotokea licha yakuwa wanalalamikia tatizo la mwendo kasi wa madereva.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment