Image
Image

china kujenga bunge mpya Zimbabwe

Uchina imeahidi kujenga miradi mipya nchini Zimbabwe ikiwemo majengo ya bunge na mtambo mpya wa kawi ya mvuke.
Mradi huu utajengwa katika eneo Hwange magharibi mwa nchi.
Tangazo hili limetolewa wakati Rais wa China Xi Jinping akifanya ziara ya siku mbili nchini Zimbabwe.
Hii ndio ziara ya kwanza kwa kiongozi wa China kufanya nchini Zimbabwe kwa karibu miongo miwili.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment