Image
Image

Breaking News:DC Mkwasa awatumbua mawakala 6 wa pembejeo za kilimo Mvomero.



Mawakala sita wa pembejeo za kilimo watumbuliwa jipu na kuu wa Mkoa wa Mvomero Bi.Betty Mkwasa baada ya kushindwa kuwajibika katika usambazaji wa mbegu katika kata za wilaya hiyo ambapo amemuagiza mratibu wa pembejeo wilaya kuvunja mkataba na mawakala hao na kuingia mkataba na wengine watakao weza kuwahudumia wakulima kwa wakati.

Amewatumbua mawakala hao wakati wa kikao kilicho shirikisha madiwani na watendaji, wenye viti wa kamati ya pembejeo mkuu wa wilaya ya mvomero bi.betty mkwasa amesema hawezi kuwavumilia mawakala wazembe ambao wanashindwa kufanya kazi kama walivyo ingia mkataba wa kuwahudumia wakulima na kumlazimu kuamuru wasitishwe mkataba wao mara moja.

Nao baadhi ya watendaji na wenyekiti wa kamati ya pembejeo kata wamesema wakulima wapo tayari kwa kilimo lakini kutokana na ukosefu wa pembejeo kama vile mbolea za kupandia na kukuzia pamoja na mbegu zimewafanya wakulima washindwe kuendelea na kilimo jambo ambalo linaweza kuwasababishia baa la njaa.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment