Image
Image

Breaking News:Mbunge wa Bunda akamatwa na Polisi akiwa Hotelini jijini Mwanza.


                               Mbunge jimbo la Bunda Ester Bulaya
Saidi Msangi.
Polisi wamemkamata Mbunge jimbo la Bunda Ester Bulaya wakati akiwa hotelini kwake jijini Mwanza.
Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa chama hicho CHADEMA,Tumaini Makene alipokuwa akizungumza na Tambarare Halisi kujua sababu na kiini cha kukamatwa Mbunge huyo amesema bado hawajafahamu hadi hivi sasa nini sabau za msingi za kukamatwa kwake.
Ameema kuwa viongozi wakuu wa chama hicho wameelekea kituoni hapo ili kuhoji na kujua hatma ya mbunge huyo.
Hata hivyo Makene ameongeza kwa kusema kuwa Bulaya alikamatwa usiku wa saa saba akiwa hotelini Mwanza.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment