Image
Image

Dawa za kututumua misuli kwa wanariadha Kenya Bunge lajadili kunusuru hali hiyo.


Bunge la Kenya limeanza  mikakati ya kunusuru taifa hilo kutokana na tuhuma za wanaridha wake kuhusishwa na madai ya utumiaji wa dawa za kututumua Misilu.
Kamati maalum ya bunge iliyoundwa kujadili suala hilo ikiongozwa na aliyekuwa Bingwa wa mbio za Boston Marathon mwaka 2012 na aliye pia mbunge wa bunge la 11 kwa sasa Wesley Koriri mbioni kuweka sheria zitakazosaidia kupambana na utumizi wa dawa kututumua Misuli.
Wanaridha wa Kenya siku za hivi karibuni wamekuwa wakikabiliwa na  madai ya kuhusika kwenye utumiaji wa dawa za kututumua Misuli wa hivi punde akiwa  bingwa mara mbili wa mbio za iaaf mwaka 2010 na mwaka 2012 Emily Chebet.
Bunge la Kenya linasema likombioni kuunda mamlaka itakayotwikwa majukumu ya kuchunguza visa vya utumiaji wa dawa hizo ikiangaziwa kuwa kenya katika upembe wa bara afrika imekuwa kilele kwa mashindano ya riadha.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment