Nyumba nane zimechomwa moto usiku wa kuamkia leo Kisiwani
Pemba zikiwemo nyumba za makazi,tawi la CCM Kibirinzi na kituo cha afya Kiuyu
kilichokuwa kinatumika kuhifadhi dawa zilizokwisha muda wa matumizi na mali za
idara ya afya.
Kamanda wa Polisi Mkoa Kaskazini Pemba kamishina
msadizi Hasana Nasiri ali amesema wana washikilia watu wawili kwa tuhuma ya
matukio hayo huku upelezi mkali ukiwa ume anzishwa kubaini wengine.
Nae Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa
Kaskaini Pemba Omar Khamis Othuman amesema kufatia matukio hayo kuanzia leo
wata piga marufuku watu kuzungumza kwenye vijiwe kuanzia sambili hadi asubuhi.
Wamiliki wa nyumba zilizo ziliokumbwa na kadhi
hiyo na baadhin ya mashuhuda walisema awali walijihisi joto kali na
ghafla wakona moto unawake juu kwenye paa la nyumba ndipo walipo piga yowe
kuomba msada.
Afisa mdhamini wizara ya afya Pemba Ukasha Daudi Ukasha
amesema miongoni mwa hasara zilizo letwa na moto huo ni kuteketeza
vitabu vya kusomea mbali mbali vya shule ya sekondari kiuyu minungwini walivyo
pewa msada vilivyo hifadhiwa ndani ya kituo hicho.
0 comments:
Post a Comment