Image
Image

Kenyatta asema serikali yake itaendelea kupambana na ufisadi.

Serikali ya Kenya inaendelea na juhudi za kupambana na ufisadi. Rais Uhuru Kenyatta anaendelea kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha serikali yake inakuwa safi ikiwa ni pamoja na kuwaondoa maofisa wa serikali waliothitibitika kupokea rushwa, licha ya kukabiliwa na changamoto kubwa. 
Hivi karibuni alipokuwa ziarani nchini Israel, Rais Kenyatta alisema licha ya Kenya kujaliwa kuwa nchi nzuri kuliko hata nchi zilizoendelea, watu wake bado wanaishi maisha magumu kutokana na ufisadi.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment