Image
Image

Rais Magufuli amjulia hali Maalim Seif jijini Dar es Salaam.


Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli amemtembelea na kumjulia hali hali katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF ambaye pia ni makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar,Maalim Seif sharif Hamad jijini Dar es Salaam aliyekuwa amelazwa katika hosptali ya Hindu Mandal na kuruhusiwa jana.
Katibu mkuu wa CUF Maalim Seif amemshukuru rais Dkt.Magufuli kwa kumjulia hali na kusema kuwa hali yake ya kiafya inaimarika siku baada ya siku.



Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment