Image
Image

utawala nchini Ufaransa umevamia ofisi za shirikisho la kandanda mjini paris.

Ofisi ya mkuu wa sheria nchini Uswisi imethibitisha kuwa utawala nchini Ufaransa umevamia ofisi za shirikisho la kandanda mjini paris.
Uvamizi huo wa siku ya Jumanne una uhusiano na uchunguzi unaoendeshwa na uswisi kwa mkuu wa shirikisho la kandanda duniani FIFA Sepp Blatter.
Maafisa hao walichukua stakabadhi zinazohusiana na malipo ya dola milioni mbili yaliyofanywa na bwana Blatter kwa mkuu wa shirikisho la kandanda barani ulaya Michel Platini.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment