Image
Image

Wataalamu wa AU waonesha wasiwasi wao kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Burundi.

Wataalam huru wa Umoja wa Mataifa wamesema kuna kazi kubwa ya kufanya nchini Burundi kuhusu haki za binadamu nchini Burundi.
Mmoja wa wataalam Pablo de Greiff amesema katika wiki ya kwanza ya mwezi huu wamekutana na makundi mbalimbali wakiwemo maofisa wa serikali, makundi ya kijamii, viongozi wa kidini, mashahidi na waathiriwa.Bw Greiff pia amepongeza makubaliano ya Arusha ya mwaka 2000 kuhusu amani na kuundwa kwa tume ya maridhiano nchini Burundi.
Wataalam hao wanasema takwimu zinaonesha kuwa zaidi ya watu 400 wameuawa nchini humo tangu kuzuka kwa mgogoro uliosababishwa na Rais Pierre Nkurunziza aliyetangaza kuwania urais kwa awamu nyingine.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment