Image
Image

Crystal Palace yainyima ushindi Arsenal baada ya kutoka sare ya goli 1-1.


Mchezaji Yannick Bolasie ametumia shambulizi la dakika za mwisho kuipatia Crystal Palace goli lililoipa sare ya 1-1 dhidi ya Arsenal katika mchezo ambao Arsenal iliutawala.
Arsenal ingeweza kushinda kiurahisi na kukwea juu ya Manchester City na kuitwaa nafasi ya tatu ya msimamo wa ligi lakini imejikuta ikibakia katika nafasi ya nne.
Katika mchezo huo Alexis Sanchez alifunga kwa mpira wa kichwa akiunganisha pande la Danny Welbeck, na kuwafanya the Gunners kuongoza.
           Alexis Sanchez akipiga kichwa cha aina yake kilichojaa wavuni
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment