Image
Image

Marehemu Ndanda Kosovo kuzikwa Jumatano Makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.


Maziko ya mwanamuzi nguli wa Dance raia wa DR Congo aliyekuwa akifanya mziki wake nchini Tanzania,Ndanda Kosovo yatafanyika Jumatano katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Kwa sasa Mipango ya mazishi yanafanyika Kinondoni Hananasif katika nyumba inayomilikiwa na Ubalozi wa DR Congo.
Ndanda amefariki Kosovo amefariki 9Aprili 2016,kutokana na kusumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa muda mrefu.
Taarifa zinasema,mama yake mzazi tayari ameondoka mjini Lubumbashi kuwahi mazishi na anatarajia kuwasili jijini Dar, kesho asubuhi.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment