Image
Image

Mchezaji wa Kikaku Mmarekani Kobe Bryant astaafu kucheza mchezo huo.


Mchezaji wa Kikaku Mmarekani Kobe Bryant amestaafu kucheza mchezo huo baada ya miaka 20 ya kucheza ligi ya NBA, katika mchezo wake wa mwisho dhidi ya Utah Jazz, ambapo Los Angeles Lakers iliibuka na ushindi.

Katika mchezo huo wa jana usiku uliohudhuriwa na watu maarufu kama Magic Johnson, Shaquille O'Neal, Jay Z, Jack Nicholson pamoja na David Beckham, Kobe Bryant alifunga pointi 60 na kuishinda Utah Jazz kwa pointi 101-96.

                              Kobe Bryant akindanki angani na kupachika kikapu
Mchezaji kikapu wa zamani wa Lakers Magic Johnson akikumbatiana Kobe Bryant
                                               Kobe Bryant akiwaaga mashabiki wa kikapu

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment