Image
Image

Sevilla yatinga fainali za Uropa kwa mara ya tatu baada ya ushindi wa penati 5-4 dhidi ya Athletic Bilbao.


Timu ya Sevilla inaendelea kupambana kutinga fainali za Uropa kwa mara ya tatu mfululizo baada ya jana kuibuka na ushindi wa penati 5-4 dhidi ya Athletic Bilbao na kutinga nusu fainali ya ligi ya Uropa.
Ilikuwa mchezaji Kevin Gameiro ndiye aliyefunga penati iliyoamua matokeo ya mchezo huo baada ya penati nne za kila upande kutinga wavuni huku kiungo wa Athletic Bilbao Benat akikosa penati.
Kwa ushindi huo ambao ulitokana na matokeo ya dakika tisini ya michezo yote miwili kuwa mabao 3-3, Sevilla sasa inaungana na Liverpool, Villarreal pamoja na Shakhtar Donetsk katika nusu fainali ya Ligi ya Uropa.
 Joto la mchezo lilipanda wakati wa kupiga matuta kiasi cha wachezaji kushikana mashati

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment