Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Simanjiro imeanza kuwahoji viongozi wanaodaiwa kuhusika katika uchochezi wa migogoro ya ardhi inayoongezeka kwa kasi kubwa kwenye maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo .
Migogoro hiyo inadaiwa kuchangia kurudisha nyuma maendeleo ya wananchi hu ku ikiahidi kuchukua hatua za sheria dhidi yao .
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Simanjiro, ambaye ni Mkuu wa wilaya hiyo, MAHAMOUD KAMBONA ametoa kauli hiyo kwenye Mji wa Olkesumet, Wilaya ni Simanjiro wakati akipo kea mchango wa madawati kwenye shule za msingi za mji mdogo wa Olkesumet kutoka kwa wasamari a wema .
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


0 comments:
Post a Comment