Image
Image

Watu 15 wafariki katika shambulizi dhidi hospitali na soko Aleppo

Watu 15 wameripotiwa kufariki katika shambulizi lililotekelezwa dhidi ya hospitali na soko moja mjini Aleppo nchini Syria.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na kikosi cha kulinda usalama Aleppo zimafahaƶisha kuwa mapipa matatu yaliokuwa na vilipuzi yalitupwa na helikopta moja ya serikali na kulipuka yamesababaisha vifo vya watu 15 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa.
Nejib Ansari muhusika katika kituo cha asalama kataika kitongoji cha al-Chaar, kaskazini mwa Syria amefahamisha kuwa helikopta hiyo ililenga hospitali ya al- Bayan ambayo inapatikana  katika eneo ambalo linamilikiwa na wapinzani wa rais Assad.
Tukio hilo limesababisha uharibifu mkubwa  katika eneo hilo.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment