Watu wanne wameripotiwa kufariki na wengine wanane kujeruhiwa Jumatano majira ya jioni.
Watu wawili waliokuwa na silaha walifyatua risasi katika mtaa mmoja ulio na migahawa kwenye umbali kadha na wizara ya ulinzi mjini Tel-Aviv.
Taarifa hiyo ilitolewa na uongozi wa Polisi mjini Tel-Aviv.
Taarifa kutoka katika hospitali ya Ichilov imethibitisha vifo vya watu hao wanne.
Taarifa kutoka idara ya Polisi kwa upande wake imefahamisha kuwatia mbaroni walioendesha tukio hilo.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


0 comments:
Post a Comment