Image
Image

Ajali ya Fuso na Scania yauwa mmoja na kujeruhi, mkoani Kagera.

Mwendesha Pikipiki aina ya tvs star yenye namba za usajili t 270 egm amefariki dunia kufuatia ajali iliyohusisha  Gari aina ya Fuso lililokuwa limebeba mchele wakati lilitokea wilayani kahama kugongana  na gari aina ya Scania iliyokuwa imebeba bidhaa mbalimbali zikiwemo sabuni.
Kufariki kwa Mwendesha Bodaboda Bwana.KABEYA FURGENCE nikufuatia gari iliyokuwa imebeba sabuni  kumlalia baada ya kufeli break na kupinduka wakati akiwamo kandokando ya barabara hiyo.
Ajali hiyo imetokea maeneo ya Rwamishenye yaliyoko nje kidogo ya mji wa Bukoba  lililoko kwenye eneo la barabara kuu iunganishayo mkoa wa Kagera na maeneo ya mikoa ya jirani, gari aina ya Fuso yenye usajili namba T.620 AWT lilikuwa likielekea mtukula na gari aina ya Scania yenye usajili namba T 789 DDV ilikuwa ikielekea kwenye maeneo ya mji wa Bukoba.
Taarifa zaidi tutawajuza, Like Page yetu ilikuweza kupata taarifa zaidi.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment