Mwanariadha
wa Kenya Eliud Kipchoge ameshinda mbio za Marathon, kilomita 42 kwa
upande wa wanaume katika mashindano yanayoendelea mjini Rio nchini
Brazil.
Kipchoge alitwaa ushindi huo kwa kutimka kwa muda wa masaa 2:8:44
Feyisa
Lilesa wa Ethiopia alimaliza wa pili akiwa nyuma ya Kipchoge kwa
sekunde 70 ili kushinda fedha naye raia wa Marekani Galen Rupp akimaliza
wa tatu na kujishindia medali ya shaba.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment