Idadi ya watu waliopoteza maisha kwenye
shambulizi la kigaidi lililotekelezwa na DAESH mjini Sirte nchini Libya
imeripotiwa kufikia 19.Idadi ya majeruhi wa shambulizi hilo
lililotekelezwa kwa kutumia mabomu yaliyotegwa ndani ya magari mawili
pia inaarifiwa kufikia 80.
Baada ya shambulizi hilo, ndege za vikosi vya Marekani zilianzisha operesheni za angani dhidi ya DAESH.
Mnamo mwezi Mei, serikali ya maridhiano nchini Libya ilitangaza kuanzisha operesheni dhidi ya ugaidi inayotambulika kama ‘Al-Bunyan al-Mersus.’
Wakati wa operesheni hiyo, ngome nyingi za magaidi ziliweza kutekwa na kuanza kudhibitiwa na vikosi vya usalama.
Vyanzo vya usalama vimetoa taarifa ya uwezekano wa kusafishwa na kuangamizwa kwa kundi la DAESH kikamilifu kwenye operesheni za Marekani ndani ya muda mfupi.
Baada ya shambulizi hilo, ndege za vikosi vya Marekani zilianzisha operesheni za angani dhidi ya DAESH.
Mnamo mwezi Mei, serikali ya maridhiano nchini Libya ilitangaza kuanzisha operesheni dhidi ya ugaidi inayotambulika kama ‘Al-Bunyan al-Mersus.’
Wakati wa operesheni hiyo, ngome nyingi za magaidi ziliweza kutekwa na kuanza kudhibitiwa na vikosi vya usalama.
Vyanzo vya usalama vimetoa taarifa ya uwezekano wa kusafishwa na kuangamizwa kwa kundi la DAESH kikamilifu kwenye operesheni za Marekani ndani ya muda mfupi.


0 comments:
Post a Comment