Image
Image

Mahasimu wawili wa muda mrefu Diddy na Drake wamaliza Beef.

Beef ya Drake na Diddy iliyosababishwa na ugomvi wa mmiliki wa wimbo wa 100 to 0, imeisha.
Drake na Diddy waligombana mwaka 2014, baada ya wote kupewa wimbo wa “0 to 100 / The Catch Up,” ambapo Diddy alikuwa na imani kuwa Drake alimuibia wimbo huu.
Pia Diddy alimpiga kofi Drake na hata Meek Mill kwenye wimbo wa “Wanna Know.” kuwa “Puffy almost caught a domestic when he smacked that bitch,”
Drake na Diddy walimaliza matatizo yao kwa maongezi kwenye simu na wiki hii Diddy ameenda kwneye show ya “Summer Sixteen Tour” mjini Greensboro.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment