Ndege ya kivita inayomilikiwa na serikali ya maridhiano ya Libya imeripotiwa kuanguka katika mji wa Sirte.Msemaji
wa kikosi maalum cha operesheni Muhammed el-Gusri alitoa maelezo na
kuarifu kuanguka kwa ndege hiyo aina ya MiG wakati wa operesheni dhidi
ya kundi la DAESH.
Gusri alielezea kwamba ndege hiyo ilipoteza mawasiliano kabla ya kuanguka ingawaje chanzo cha ajali hiyo bado hakijabainika.
Kikosi cha serikali ya maridhiano ya Libya kimekuwa kikiendesha operesheni dhidi ya kundi la DAESH tangu Januari 2015 katika mji wa Sirte pamoja na maeneo jirani.
Gusri alielezea kwamba ndege hiyo ilipoteza mawasiliano kabla ya kuanguka ingawaje chanzo cha ajali hiyo bado hakijabainika.
Kikosi cha serikali ya maridhiano ya Libya kimekuwa kikiendesha operesheni dhidi ya kundi la DAESH tangu Januari 2015 katika mji wa Sirte pamoja na maeneo jirani.


0 comments:
Post a Comment