
Mwili wa marehemu ABOUD JUMBE MWINYI (Pichani) tayari umewasili Zanzibar, kwa maziko yanayotarajiwa kufanyika baada ya swala ya adhuhuri mchana huu kwenye makaburi ya familia , Migombani, Zanzibar.
Enzi za uhai wake inaelezwa kuwa aliwahi kuacha usia kuwa maziko yake yawe ya kawaida yasiyokuwa na taratibu za Serikali, kama upigwaji wa mizinga na mambo mengine.


0 comments:
Post a Comment