Image
Image

Baada ya maafa yaliotokea mwaka 2015 serikali ya Saudia ya imarisha usalama sehemu ya ibada ya hijja

Baada ya maafa ya zaidi ya mahujaji 2000 yaliosababishwa na mkanyagano wakati wa hijja,kufuatia hali hiyo serikali ya Saudia Arabia yaimarisha usalama mjini Makkah nchini humo.
Katika hali ya kuimarisha usalama mahujaji walipewa bangili za kielektronik yanayo saidia kutoa tahadhari ya mkanyagano.
Itakumbukwa kuwa mnamo tarehe 24 mwezi Septemba mwaka 2015 u zaidi ya mahujaji 2000 wameripotiwa kupoteza maisha kufuatia mkanyagano kwa mujibu wa mataifa 30 yaliopoteza raia wao.
Licha ya hivyo serikali ya Saudi Arabia ilikanusha taarifa hizo na kukiri kuwa ni mahujaji 769 waliofariki na kuahidi kuweka wazi  uchunguzi dhidi ya janga hilo ila mpaka sasa bado taifa hilijatimiza ahadi hiyo.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment