Katika hali ya kuimarisha usalama mahujaji walipewa bangili za kielektronik yanayo saidia kutoa tahadhari ya mkanyagano.
Itakumbukwa kuwa mnamo tarehe 24 mwezi Septemba mwaka 2015 u zaidi ya mahujaji 2000 wameripotiwa kupoteza maisha kufuatia mkanyagano kwa mujibu wa mataifa 30 yaliopoteza raia wao.
Licha ya hivyo serikali ya Saudi Arabia ilikanusha taarifa hizo na kukiri kuwa ni mahujaji 769 waliofariki na kuahidi kuweka wazi uchunguzi dhidi ya janga hilo ila mpaka sasa bado taifa hilijatimiza ahadi hiyo.


0 comments:
Post a Comment