Image
Image

EXCLUSIVE: LEMA AFIKISHWA MAHAKAMANI, ASOMEWA MASHITAKA YA UCHOCHEZI


Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema leo amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Arusha na kusomewa shitaka la uchochezi  na kusababisha vurugu katika chuo cha Uhasibu Njiro mkoani Arusha ,April 24 mwaka huu.



Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment