Image
Image

News Alert: Wanachama 150 wa Chadema warudisha fomu na kujiunga na CCM baada ya mbunge wa jimbo la kalambo kutoa msaada wa gari la kubebea wagonjwa.

Read More

Dk.Shein:Kuongezeka kwa kasi makusanyo kupitia Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) ni uthibitisho kuwa Mamlaka hiyo inatekeleza majukumu yake ipasavyo.

Read More

News Alert: Makundi ya wazee yapaza sauti zao kwa serikali kuhakikisha inakemea hospitali zake kwa kushindwa kuwa tambua na kupinga sera zao.

Read More

News Alert: UKAWA yatoa msimamo wake juu ya njama zinazoonesha kutaka kuahirishwa uchaguzi mkuu Octoba mwaka huu.

Read More

News Alert: Madaktari bingwa 16 kutoka nchini AUSTRALIA wamefanyia upasuaji wa moyo Watoto 15 hospitali ya Bugando

Read More

News Alert: ITV yashinda tuzo ya ubora SUPERBRAND Afrika Mashariki kwa mwaka 2015 na 2016 kundi la makampuni kumi bora katika tuzo hizo.

Read More

News Alert:Jinamizi la ajali bado laendelea kutesa wasafiri,basi la kampuni ya TAKBIR lavaana na ABOOD Mikese Morogoro.

Read More

Wakazi wa kitongoji cha KITAME katika halmashauri ya wilaya ya BAGAMOYO washauriwa kutowakataa wawekezaji.

Read More

News Alert:Mabadiliko ya tabia nchi kuathiri uhifadhi wa mazingira na mzunguko wa wanyamapori katika Ukanda wa uhifadhi wa Serengeti.

Read More

News Alert:Watu 50 mkoani Rukwa wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kufanya vitendo vya ujangili.

Read More

News Alert:Magyufuli ameapa kula sahani moja na uongozi wa kampuni inayojenga barabara za mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam.

Read More

Dk.Shein:Matibabu ya Bongo na Uti wa mgongo ni hatua muhimu ya kuimarisha huduma za afya Zanzibar.

Read More

News Alert:Mahakama ya hakimu mkazi mjini Singida,imewahukumu madereva wanne wa magari ya abiria na mizigo, adhabu ya kutumikia jela jumla ya miezi kumina mbili

Read More

Sumatra imesema kuwa hakunasababu ya kuendelea kuwa na vitengo vya kuzuia ajali za barabarani kama ajali zitaendelea kupoteza maisha kila uchao.

Read More

Chama cha walimu Tanzania mkoani mara kimepinga agizo la mkuu wa mkoa la kuwataka kubadili ratiba za masomo.

Read More

Katoni za maji ya kunywa kutoka kampuni mbali mbali zilizoingizwa kinyemela kutoka nchini Kenya zakamatwa na kuteketezwa.

Read More

Ubovu wa Barabara wasababisha adha kubwa ya usafiri na hivyo mkuu wa mkoa kukwama kwa saa kadhaa Tunduru-SONGEA.

Read More

Lukuvi amuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la mwanza kuwafikisha mahakamani watendaji wa ardhi wanaodaiwa kujihusisha na vitendo vya udanganyifu.

Read More

Mbunge NATSE awataka wananchi wa karatu kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.

Read More

Yanga watwaa ubingwa, waishushia polisi kichapo kitakatifu cha goli 4 kwa moja uwanja wa taifa Dar es Salaam.

Read More

Ikulu imekana kuwepo kwa njama zozote za kutaka kumdhuru mwenyekiti mtendaji wa IPP LIMITED, DK. REGINALD MENGI.

Mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais,Ikulu, Salvatory  Rweyemamu.
Read More

Wananchi wa Kwembe jijini Dar es wavamia ofisi za wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi wakishinikiza kulipwa madai.

Read More

Wananchi wamshutumu mwenyekiti wao kwa ubadhilifu wa kula fedha za michango Ludewa.

Read More

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali imedhamiria kuiimarisha Ofisi ya Takwimu ya Taifa ili iweze kutoa huduma bora siyo tu kwa Serikali bali hata kwa wananchi

Read More

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemteua Balozi Rajabu Hassan Gamaha kuwa Balozi wa Tanzania nchini Burundi.

Balozi Rajabu Hassan Gamaha
Read More

Wananchi wahimizwa kujitokeza kwa wingi katika kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura masasi Mkoani Mtwara

Read More

News Alert: Anusurika kifo baada ya gari kuteketea kwa moto katikati ya Coca Cola na Majembe Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Read More

Serikali yawatangazia kiama wazazi ambao wamewazuia watoto wao kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu .

Read More

Dr Slaa asema hakuna sababu serikali kutumia gharama kubwa sherehe za muungano huku wananchi wakiteseka hali ngumu ya maisha

Read More

Serikali wilayani Ngorongoro mkoani Arusha imezionya baadhi ya taasisi zisizo za kiserikali zinazosababisha uvunjifu wa amani katika eneo la Ngorongoro.

Read More

Rais Kikwete awaongoza watanzania Kuadhimisha miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar viwanja vya Uhuru Dar es Salaam.

Read More

Jumla ya vijiji 14 vya wilaya ya Ludewa mkoani Njombe vinatarajia kuanza kunufaika na mpango wa umeme vijijini

Read More

Utafiti: Vyombo vya habari viripoti habari za Rushwa kuliko kuegemea zaidi kwenye habari za kijamii.

Read More