Image
Image

News Alert:Mabadiliko ya tabia nchi kuathiri uhifadhi wa mazingira na mzunguko wa wanyamapori katika Ukanda wa uhifadhi wa Serengeti.


Athari za mabadiliko ya tabia-nchi zinazojitokeza nchini na kwingineko duniani zimeanza kuathiri uhifadhi wa mazingira na mzunguko wa wanyamapori wakiwemo Nyumbu katika Ukanda wa uhifadhi wa Serengeti.
Mzunguko huo huanzia katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti Nchini Tanzania na kuishia katika Hifadhi ya Taifa ya Masai Mara nchini Kenya.
Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti,  WILLIAM MWAKILEMA akizungumza  katika mahojiano maalum amesema wanyamapori hao na hasa Nyumbu wameshindwa kuhimili hali ya ukame na uhaba wa malisho katika maeneo mengi kutokana na mvua kunyesha bila mpangilio.
Bwana MWAKILEMA  pia amesema tatizo la kuathirika kwa mzunguko wa Nyumbu pia linatarajiwa kuathiri kwa kiasi fulani shughuli za utalii katika hifadhi hiyo maarufu duniani.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment