Image
Image

NCHIMBI AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALINDA AMANI MNAZI MMOJA JIJI DAR ES SALAAM.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Dk Emmanuel Nchimbi akiweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu ya mashujaa wakati wa maadhimisho ya siku wa walinda amani iliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Dk Emanuel  Nchimbi akizungumza na wananchi katika viwanja vya mashujaa Mnazi Mmoja mara baada ya kuweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu ya mashujaaya  kuadhimisha siku ya walinda amani.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment