Kamanda wa polisi Mkoani Mara kamishina msaidizi Mwandamizi Absalom Mwakyoma amesema kuwa tukio hilo limetokea wilayani Bunda ambapo limehusishwa na Imani za Kishirikiana.
Kamanda Mwakyoma amesema kuwa tukio hilo linafuatia tukio lilotokea April 15 Mwaka huu ambapo Daudi Samson au Phares Wegero mwendesha Pikipiki aligongwa na gari na kufariki dunia ambapo baada ya hapo ndugu zake walienda kwa Mganga wa Jadi na kuambiwa kuwa Marehemu hao wamehusika katika kifo cha kijana huyo.
ABSALOM MWAKYOMA - KAMANDA WA POLISI MARA |
Waliouawa katika tukio hilo ni pamoja na Tibezuka Biseko au bibi Rai mwenye umri wa miala 75), Chausiku Rubisha 73 na Mugara Manyama 68 wakazi wa kijiji cha Kasahunga wilaya ya Bunda Mkoani Mara.
0 comments:
Post a Comment