Image
Image

Nchini Indonesia biashara ya kuuwa nyoka kwa ajili ya kutengenezea ngozi ya nyoka yashamiri.


Kiwanda kidogo katika mji mdogo wa Javanese nchini Indonesia kimekuwa kikiuwa mamia ya nyoka katika kufanyabiashara ya kuuza bidhaa zinazotengenezwa kwa ngozi ya nyoka.


Katika kijiji cha Kapetakan, nyoka wamekuwa wakiuwawa katika kujaribu kukata kiu ya soko kubwa la mabegi ya ngozi ya nyoka, mikanda na viatu lililopo katika nchi za Magharibi.

Baada ya kuuwawa nyoka hao, ngozi zao huuzwa kwenye viwanda vya magharibi na katika mkoa wa Java, kila mwezi.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment