Image
Image

Takwimwimu zinaonyesha kuwa idadi ya wagonjwa 34000 kila mwaka hufariki Dunia


Wakati TANZANIA ikiungana na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya saratani kila ifikapo February 4 takwimu zinaonyesha hapa nchini zaidi ya asilimia 80 ya watu wanaogundulika kuugua ugonjwa huo hufariki Dunia ikiwa ni kinyume na  viwango vilivyowekwa na shirika la afya Duniani (WHO) ambapo asilimia 20 ya wagonjwa wa SARATANI hupoteza maisha kama ilivyo katika nchi zilizoendelea.>>>http://www.itv.co.tz
Takwimu hizo zinatolewa na waziri wa afya Dk. Seif Rashid ambapo amesema hapa nchini idadi ya wagonjwa wapya wa saratani kila mwaka ni zaidi ya 34000 huku asilimia 10 tu ndio hufanikiwa kufika hosipitalini kwa ajili ya matibabu ambapo zaidi ya asilimia 80 hufika wakiwa katika hatua za mwisho ya ugonjwa huo hali inayopunguza uwezekano wa kupona na kuwataka wananchi ili kuondokana na tatizo hilo wajenge utamaduni wa kupima afya zao mara kwa mara.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment