Watu wanaonekana wakining"inia kwenye kwenye gari baada ya kutangazwa mapinduzi ya kumg"oa Nkurunziza Burundi.
Hawa wanao onekana ni Raia nchini Burundi wakishangilia kupinduliwa kwa rais wa nchi hiyo
Piere Nkurunziza.
Raia wakionekana wakishangilia kwa furaha Mjini
Bujumbura baada ya kufanyika Mapinduzi kwa Rais wa nchi hiyo Piere Nkurunziza.
Maafisa wa jeshi la nchini Burundi wanaonekana hapo katika Picha wakiimarisha
usalama baada ya Mapinduzi yaliyofanyika Nchini humo.
Raia wa Bujumbura wakishangilia baada ya kutolewa na
Generali Niyombareh kwamba wamepindua serikali ya Nkurunziza.
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia
waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa
Burundi.
Watu wanaonekana wakininginia kwenye vifaru vya
jeshi
0 comments:
Post a Comment