Image
Image

Mimba za umri mdogo,magonjwa ya ngono na ndoa za utotoni, kuathiri afya za vijana.


Mimba za umri mdogo,magonjwa ya ngono na ndoa za utotoni ,   vimetajwa kuathiri afya za vijana wengi na kupunguza nguvu kazi ya taifa katika Mkoa wa Shinyanga .
Takwimu zinaon esha idadi ya mimba za utotoni katika mkoa huo ni zaidi ya asilimia  25  ya kitaifa,hivyo kufanya vijana hao kuwa katika hatari kubwa ya kupoteza uhai wakiwa na umri mdogo.
Hayo yamebainika wakati wataalam  kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii  kitengo  cha Afya ya Uzazi na motto,walipozungumza   na wakuu wa idara na watendaji  Mkoani  Shinyanga .
Baadhi ya wazazi wa medai  kuwa bado elimu inahitajika zaidi kwa wazazi wanaoishi katika maeneo ya vijijini ili kuacha mila na desturi potofu zinazosababisha kuwaozesha mabinti zao wakiwa na umri mdogo kwa lengo la kujipatia mali hali hali inayohatarisha kundi hilo la vijana.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment