Image
Image

UKAWA waafikiana kuhusu majimbo*Mbatia aweka sawa kuhusu masheikh Zanzibar.


Viongozi wa vyama  siasa vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi-UKAWA  vimefikia makubaliano ya mwisho wa mgawanyo wa majimbo ya uchaguzi 238 kati ya majimbo 265 ya uchaguzi ambapo majimbo matatu  ya Serengeti,Mtwara mjini na Mwanga mpaka sasa hawajafikia muafaka.

Mmoja kati ya waratibu wa ukawa Dr.George Kahangwa amesema katika makubaliano hayo majimbo 265 wamekubaliana rasmi kuachiana na wagombea wengine ambao walipitishwa na tume ya taifa ya uchaguzi lakini sasa wameenguliwa na vyama vyao wametakiwa kuheshimu uamuzi huo.

Naye mmoja kati ya wenyeviti wenza wa ukawa Bw.James Mbatia ametetea kauli za mgombea wa  urais kupitia umoja huo kuhusiana na tamko lake kuhusu Masheikh wa Zanzibar ambao wanakabiliwa na kesi pamoja mwanamuziki nguza vicking aliye kifungoni kuwa lilikuwa linaashilia wataweka utawala wa sheria utakaochunguza pia uhalali wa yaliyowasibu watu hao.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment