Image
Image

Marekani yaonya kauli za tata kutoka kwa rais NKURUNZIZA kuwa huenda zikasababisha machafuko.

Marekani imeonya kuwa amri ya Rais PIERRE NKURUNZIZA wa B urundi kutaka watu wenye silaha haramu kuzisalimisha ndani ya situ tano au kuhesabiwa  maadui wa taifa huenda ikazusha  machafuko mapya.
Balozi wa Marekani kwenye Umoja wa Mataifa Bi SAMANTH  POWER amesema amri hiyo inaweza  katika siku chache zijazo kuzusha umwagaji damu mkubwa zaidi katika nchi hiyo.
Jumatatu wikii hii Rais NKURUNZIZA  aliagiza kufikia kesh o watu wenye silaha haramu wawe  wamezisalimisha kwa hiari viginevyo watahesabiwa kuwa n i maadui wa taifa na kukabiliwa  ipasavyo.
Burundi iliyoibuka miaka kumi iliyopita kutoka kwen ye vita vya wenyewe kwa wenyewe  ilitumbukia tena kwenye machafuko kuanzia Aprili m waka huu kufuatia hatua yake ya  kuwania muhula wa tatu.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment