Image
Image

Djokovic amejiondoa kwenye mashindano ya tenisi ya Dubai.

Mchezaji Tenisi Novak Djokovic amejiondoa kwenye mashindano ya tenisi ya Dubai hatua ya robo fainali katika mchezo dhidi ya Feliciano Lopez baada ya kuwa na tatizo la jicho
Djokovic mwenye umri wa miaka 28 alionekana akimuita kocha wake wakati wa mchezo na kumwambia tatizo la kusumbuliwa na jicho kabla ya kumaliza mchezo.
Mchezaji huyo namba moja wa Tenisi Duniani amejiondoa baada ya kupoteza seti ya kwanza (6-3).

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment