Image
Image

Mkutano wa kihistoria baina ya Papa na Imam wa Al azhar Vatican.

Papa Francis afanya mazungumzo na Imam Mkuu wa mskiti wa Al Azhar wa Cairo Sheikh Ahmed Mohamed el-Tayeb  katika Vatican nchini Italia.
Mkutano huo baina viongozi hao wakuu kutoka dini mbili tofauti ni kilele cha mafanikio kati ya dini hizo mbili.
Aidha El Tayeb alibainisha kuwa alikubali mwaliko wa Papa kwa ajili ya kuongeza jitihada za kueneza amani na kuwepo kwa ushirikiano .
Hata hivyolengo lingine lilikuwa kusawazisha uhusiano baina ya dini hizi mbili kufuatia matamshi ya Papa Benedict XVI dhidi ya waislamu mwaka 2006.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment