Image
Image

Ofisi ya Takwimu na Taasisi za Kimataifa zakamilisha mchakato wa ukusanyanyi taarifa za UKIMWI kwa Watoto.

Ofisi ya taifa ya Takwimu kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za Serikali na za kimataifa zimekamilisha mchakato wa kukusanya taarifa za ugonjwa wa UKIMWI zikiwemo za watoto wadogo kwa nchi nzima utafiti ambao ni mara ya kwanza kufanyika nchini.
Ofisi ya taifa ya takwimu kwa kushirikiana na tasisi mbalimbali za serikali na za kimataifa zimekamilisha mchakato wa kukusanya taarifa za ugonjwa wa ukimwi zikikiwemo  za  watoto wadogo kwa nchi nzima utafiti ambao ni mara ya kwanza kufanyika ukiwa unahusisha  watakalaamu kutoka katika sekta mbalimbali lengo likiwa ni kujuwa ni kwa kiasi gani ukimwi bado
Hayo yamesemwa na mkurugenzi mkuu wa ofisi ya taifa ya takwim Dk Alibina Chuwa wakati akipokea msaada wa magi kutoka katika taasisi ya kimtaifa ya ICAP,magari yatakayoumika kutembea nchini nzima kukusanya taarifa hizo.
Naye mkurugenzi mtendaji wa tu
me ya taifa ya kudhibiti ukimwi TACAIDS Dk.atma Mrisho amesema utafiti huo utaisaidia Serikali kujua   ukubwa wa ugonjwa wa ukimwi nchini.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment