Image
Image

FA kumuhoji Moyes kwa kauli yake yakutaka kumpiga makofi mwandishi wa BBC.

Chama cha soka nchini England (Fa) kitamuhoji meneja wa Sundarland David Moyes baada ya kocha huyo kumwambia atampiga makofi mwandishi wa BBC Vicki Sparks.
Mwandishi huyo alimuuliza moyes uwepo wa mmiliki wa timu Ellis Short uwanjani unamletea wasiwasi wowote ndio kocha huyo akatoa maneno hayo ya vitisho.
Tukio hilo lilitokea tarehe 18 ya mwezi uliopita baada ya kumalizika mchezo wa wa ligi kuu England kati ya Sunderland na Burley .
Hata hivyo tayari David Moyes amekwisha muomba radhi mwandishi huyo na kujutia makosa yake.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment