Image
Image

Ripoti ya watumishi wa Umma wasio na sifa vyatua mikoni mwa JPM, Chimwaga Dodoma.




Rais Dkt.John Pombe Magufuli akisoma Ripoti aliyokabidhiwa ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma, ambapo amesoma jina moa la Abdalah Chanja kutoka Simiyu ambaye hana sifa katika utumishi katika ukumbi wa Chimwaga Dodoma leo 28 Aprili 2017.
Rais Dkt.John Pombe Magufuli magufuli akifurahi wakati Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Kairuki akimkabidhi Ripoti ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma katika ukumbi wa Chimwaga Dodoma leo 28 Aprili 2017.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment