Image
Image

Maafisa wa kamati ya kimataifa yazuru jijini Paris kuelekea michezo ya 2024.

Maafisa wa kamati ya kimataifa ya michezo ya Olimpiki wafanya ziara jijini Paris Ufaransa kutathmini uwezo wa jiji hilo kuwa mwenyeji wa michezo ya olimpiki mwaka 2024.
Ziara hiyo imekuja baada ya kufanya ziara nyingine kama hiyo jijini Los Angeles nchini Marekani na kutathmini miundo mbinu na utayari wa mji kufanikisha michezo hiyo. 
Kamati hiyo ya wajumbe 11 wakiwa nchini Ufaransa wametembelea maeneo mbalimbali.
Ushindani kati ya jiji la Paris na Los Angeles, na uamuzi wa mwisho kuhusu mji upi utashinda, utafahamika Septemba 13 jijini Lima.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment