Image
Image

Timu ya mpira wa wavu ya wanawake ya Rwanda imefanikiwa kutwaa ubingwa na medali ya dhahabu

Timu ya ufukweni ya mpira wa wavu ya wanawake ya Rwanda imefanikiwa kutwaa ubingwa na medali ya dhahabu baada ya kuifunga timu ngumu ya Morocco katika mchezo wa fainali ya mabingwa ya Afrika ya mashindano ya wavu ufukweni yaliyofanyika mjini Maputo Msumbiji.
Kwa ushindi huo, tim u hiyo ya Rwanda sasa itaenda kushiriki mashindano ya dunia ya mpira wa wavu ya ufukweni yanayotarajiwa kuanza Julai 28 hadi Agosti 6 mwaka huu mjini Vienna Austria.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment