Image
Image

Wageni 98 wakamatwa mjini İzmir nchini Uturuki.

Wageni 98 wakamatwa mjini İzmir wakijaribu kusafiri kuelekea katika kisiwa cha Chios kinachomilikiwa na Ugiriki.
Kikosi cha kulinda pwani mjini Izmir kimefahamisha kuwa maboti mawili ya plastiki  yamekamatwa yakiwa na wahamiaji 98 wakijaribu kuingia katika kisiwa hicho cha Ugiriki.
Wahamiaji hao waliokamatwa ni raia kutoka Syria, Iraq, Eritrea na Angola.
Miongoni mwa wahamiaji waliokamatwa wamo watoto na wanawake.
Baada ya kikosi hicho cha walinzi wa pwani kuwakamatwa kiliwaelekeza katika kituo cha afya mjini İzmir.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment