Image
Image

Tannesco yafanya operesheni maalum Dar es Salaam, yanasa wanaohujumu shirika hilo.



Tannesco yafanya operesheni maalum Dar es Salaam, yanasa wanaohujumu shirika hilo.
Shirika la umeme nchini Tanesco limefanya operesheni maalumu katika maeneo mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam lenye lengo la kuwabaini wale wote wanaoiba umeme na kufanikiwa kukamata zaidi watu kumi.
Operesheni hiyo iliyo ongozwa na timu ya wakaguzi kutoka makao makuu ya shirika hilo chini ya mkuu wa msafara Mhandisi mkuu Mposhe Leye Zawadi ambaye alisema wote waliobainika watafikishwa Mahakamani kujibu tuhuma zao na kwasasa wanashikiliwa na polisi.
Kwa upande wake meneja wa Tanesco mkoa wa Temeke amesema pamoja na kufanya operesheni hiyo pia amewataadharisha wateja hao kuacha mara moja kuepuka kutumia vishoka kuwaunganishia umeme bila kufata taratibu za shirika hilo.

                          Watuumiwa wakiwa chini ya ulinzi Wa jeshi la polisi.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment